Weka Tangazo Lako Bure: Jaza Form

Tangazo! Tangazo!

Wanachi wote mnakumbushwa kuwa Waziri wa katiba na sheria, Augustine Mahiga, amewataka wananchi wasiokuwa na vyeti vya kuzaliwa kufika ofisi za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), kwa ajili ya kujiandikisha na kupewa vyeti vyao vya kuzaliwa. Mheshimiwa Maiga ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma Novemba 11, 2019. Waziri amesisitiza kuwa vyeti vya kuzaliwa ni mhimu inapofika wakati wa mtu kuajiliwa. WANANCHI MSIPUUZIE AGIZO HILI!

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s